1 Chronicles 29:20
20
Ndipo Daudi akaliambia kusanyiko lote, “Mhimidini
Bwana
Mungu wenu.” Hivyo wote wakamhimidi
Bwana
, Mungu wa baba zao. Wakasujudu na kuanguka kifudifudi mbele za
Bwana
na mfalme.
Copyright information for
SwhNEN